mafuroko tanzania yamekuwa sio ya kawaida ,sasa wanaichi wanapata tabu mpaka chakula maji umeme shida tanzania je?watanzania wankuwa hawana haki ,ndani ya inchi hii viongozi wanajinufaisha maisha yao kuwa mazuri leo ,leo viongozi wana kuwa hawana habari ya walio wachagua jamani fungueni macho wana inchi amkeni katiba zinabadilishwa kwa ajili ya maslahi ya vigogo
No comments:
Post a Comment